Kibali cha walowezi
Wakati wa ujazaji wa fomu ya maombi ya kibali cha walowezi, Mwombaji anatakiwa kujaza taarifa zake kwa usahihi na ukamilifu, na mara atakapomilisha atapatiwa Namba ya Utambulisho (Application ID) pamoja na kupakua fomu yenye taarifa za ombi lake.